Fungua
TABORA PARALEGAL CENTRE

TABORA PARALEGAL CENTRE

MANSPAA YA TABORA, Tanzania

DIRA: TPC inataka kuona jamii yenye kutenda haki na yenye maendeleo endelevu.

DHAMIRA:  Kuwesha jamii kujua haki zao, kupambana na vikwazo vya maendeleo na kushiriki  

                 katika shughuli za maendeleo endelevu.

LENGO KUU:  Kufanya ushawishi na utetezi juu ya haki za binadamu,unyanyasaji

                     wa kijinsia,ukatili dhidi ya wanawake na watoto, haki za wanawake kumiliki mali   

                      na kuelimisha jamii juu ya sheria mbalimbali.

27 Mei, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.