Injira
Tushikamane Organization

Tushikamane Organization

Morogoro Vijijini, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Lengo kuu la asasi ni utunzaji wa mazingira katika dhana endelevu,kuelimisha umma juu ya Kilimo cha kisasa,kuwaelimisha wakulima na wafugaji dhidi ya kanuni bora ili kuondoa umaskini uliokithiri hapa nchini.

kuwahamasisha wananchi juu ya kukabiliana na magonjwa sugu kama vile ukimwi,malaria na TB.

Amakuru agezweho
Tushikamane Organization yakoze Amateka paje.
HISTORIA YA ASASI YA TUSHIKAMANE ORGANIZATIONAsasi ya Tushikamane Organization ilisajiliwa rasmi tarehe 29/6/2011 na kupata usajili 00004721 katika wizara ya maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto na kufanya kazi katika mikoa yote Tanzania... Soma ibindi
12 Kanama, 2012
Tushikamane Organization yakoze Ikipe paje.
Ununi Ramadhan Mng'oo-Mwenyekiti Yahaya Rajab Mgoda-Mratibu Mkuu Janeth Shaban-Mratibu wa Fedha Ramadhan Palu-Mratibu wa Elimu Aziza Rashidi-Mratibu wa Maendeleo Jamii na Watoto Bibiana Joseph Kibua-Mratibu wa... Soma ibindi
12 Kanama, 2012
Tushikamane Organization yasanze Envaya.
12 Kanama, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
Morogoro Vijijini, Morogoro, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye