Lengo kuu la asasi ni utunzaji wa mazingira katika dhana endelevu,kuelimisha umma juu ya Kilimo cha kisasa,kuwaelimisha wakulima na wafugaji dhidi ya kanuni bora ili kuondoa umaskini uliokithiri hapa nchini.
kuwahamasisha wananchi juu ya kukabiliana na magonjwa sugu kama vile ukimwi,malaria na TB.
Mabadiliko Mapya
Tushikamane Organization imeumba ukurasa wa Historia.
HISTORIA YA ASASI YA TUSHIKAMANE ORGANIZATION – Asasi ya Tushikamane Organization ilisajiliwa rasmi tarehe 29/6/2011 na kupata usajili 00004721 katika wizara ya maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto na kufanya kazi katika mikoa yote Tanzania... Soma zaidi
12 Agosti, 2012
Tushikamane Organization imeumba ukurasa wa Timu.
Ununi Ramadhan Mng'oo-Mwenyekiti
Yahaya Rajab Mgoda-Mratibu Mkuu
Janeth Shaban-Mratibu wa Fedha
Ramadhan Palu-Mratibu wa Elimu
Aziza Rashidi-Mratibu wa Maendeleo Jamii na Watoto
Bibiana Joseph Kibua-Mratibu wa... Soma zaidi
12 Agosti, 2012
Tushikamane Organization imejiunga na Envaya.
12 Agosti, 2012
Sekta
Sehemu
Morogoro Vijijini, Morogoro, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu