Log in
Tambani Rural Community Development Fund

Tambani Rural Community Development Fund

MKURANGA, Tanzania

Kuwa na jamii iliyoelimika na yenye afya bora, itakayo weza kutumia rasilimali zinazo wazunguka ili kujiletea maendeleo.

Ili kufikia lengo hili asasi inafanya hivi kwa kushirikiana na serikali za mitaa, serikali za vijiji mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yaliyopo ndani na nje ya nchi pamoja na jamii kwa ujumla.
Latest Updates
Tambani Rural Community Development Fund added 3 News updates.
October 12, 2010
Tambani Rural Community Development Fund created a Projects page.
Shughuli kubwa za TARUCODEFU ni kufanikisha mazingira ya uwezeshwaji yanayo hakikisha kuwa – 1.wakulima, wavuvi, pamoja na wafanya biashara wadogo wadogo wanajengewa... Read more
October 12, 2010
Tambani Rural Community Development Fund created a Team page.
UONGOZI NA VIONGOZI – Mwenyekti: MAULIDI YUSUF KWANGAYA – Mkurugenzi : SHAIB SAID LIPWATA – Mwekahazina: ... Read more
October 12, 2010
Tambani Rural Community Development Fund created a History page.
TARUCODEFU ni kifupi cha Tambani Rural Community Development Fund, ni Asasi isiyo kuwa ya kiserikali na isiyokuwa ya kupata faida, imesajiliwa mwaka 2001 na kupata hati na SO 10944, Asasi hii inafanya kazi zake katika mikoa ya Pwani, Mtwara na Lindi,... Read more
October 12, 2010
Tambani Rural Community Development Fund joined Envaya.
May 3, 2010
Sectors
Location
MKURANGA, Pwani, Tanzania
See nearby organizations