Injira
Tambani Rural Community Development Fund

Tambani Rural Community Development Fund

MKURANGA, Tanzania

Kuwa na jamii iliyoelimika na yenye afya bora, itakayo weza kutumia rasilimali zinazo wazunguka ili kujiletea maendeleo.

Ili kufikia lengo hili asasi inafanya hivi kwa kushirikiana na serikali za mitaa, serikali za vijiji mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yaliyopo ndani na nje ya nchi pamoja na jamii kwa ujumla.
Amakuru agezweho
Tambani Rural Community Development Fund yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
12 Ukwakira, 2010
Tambani Rural Community Development Fund yakoze Imishinga paje.
Shughuli kubwa za TARUCODEFU ni kufanikisha mazingira ya uwezeshwaji yanayo hakikisha kuwa – 1.wakulima, wavuvi, pamoja na wafanya biashara wadogo wadogo wanajengewa... Soma ibindi
12 Ukwakira, 2010
Tambani Rural Community Development Fund yakoze Ikipe paje.
UONGOZI NA VIONGOZI – Mwenyekti: MAULIDI YUSUF KWANGAYA – Mkurugenzi : SHAIB SAID LIPWATA – Mwekahazina: ... Soma ibindi
12 Ukwakira, 2010
Tambani Rural Community Development Fund yakoze Amateka paje.
TARUCODEFU ni kifupi cha Tambani Rural Community Development Fund, ni Asasi isiyo kuwa ya kiserikali na isiyokuwa ya kupata faida, imesajiliwa mwaka 2001 na kupata hati na SO 10944, Asasi hii inafanya kazi zake katika mikoa ya Pwani, Mtwara na Lindi,... Soma ibindi
12 Ukwakira, 2010
Tambani Rural Community Development Fund yasanze Envaya.
3 Gicurasi, 2010
Ibyiciro
Aho uherereye
MKURANGA, Pwani, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye