Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Mkurugenzi wa Asasi ya SWOLO akiongea na wazee wa kata ya Talatala wilayani Kyela kuhusu huduma za matibabu zinazotolewa katika hospitali za serikali bila malipo kwa wazee ikiwa na pamoja na taratibu zinazotumika kutoa huduma hizo.
January 22, 2012