Fungua
SAIDIA WAZEE TANZANIA

SAIDIA WAZEE TANZANIA

Tanzania

large.jpg

Kwenye mradi uliotekelezwa na SAWATA MARA chini ya ufadhili wa "HelpAge International" jamii ilishirikishwa kuwajengea nyumba wazee wasiokuwa na uwezo. Hapa mzee mmoja anajengewa nyumba katika Kata ya Suguti, kijiji cha Kusenyi.

12 Juni, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.