Wezee hawa baada yakupatiwa elimu ya Sera ya Taifa ya wazee, kwenye mradi uliofadhiliwa na "HelpAge International" Dar-es-salaam. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Vijijini, iliwaingiza kwenye miradi ya TASAF ya uvuvi.
12 Juni, 2012
Wezee hawa baada yakupatiwa elimu ya Sera ya Taifa ya wazee, kwenye mradi uliofadhiliwa na "HelpAge International" Dar-es-salaam. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Vijijini, iliwaingiza kwenye miradi ya TASAF ya uvuvi.