Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

hivi picha ya ni viriba vya miti ya mianzi

Katibu Mtendaji wa sakale Development Foundation  ndugu Alex Mbwilo akisoma risala kwa Mkuu wa wilaya ya Muheza Kabla ya Mafunzo juu ya Utawala bora Kwa viongozi wa Serikali za vijiji kuanza.

Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mh. Metthew Nasei akifungua Mafunzo juu ya utawala bora kwa Wajumbe wa halmashauri za serikali za wa vijiji katika kata ya Kisiwani, tarafa ya Amani.

Washiriki wa mafunzo juu ya utawala bora wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi, Mkuu wa wilaya ya Muheza [mwenye suti nyeusi katika]

Washiriki wa Mfunzo juu ya utawala bora katika ngazi ya vijiji katika vijiji vya Mikwinini na Mlesa kata ya Kisiwani  wakijengewa uwezo wa kuongoza.

Washiriki wa Mafunzo juu ya utawala bora katika ngazi ya vijiji wakiwa katika kazi za vikundi vikundi

Washiriki wakiwa kwenye kazi za vikundi

Mshiriki wa Mafunzo juu ya utawala bora katika ngazi ya vijiji akiwasilisha kazi ya kikundi chake.