Envaya
Mashirika ya Ubia

concern for development initiatives in africa

info@fordia.org · +255-222701895

forDIA ni shirika ambalo tumeshirikiana nalo mara nyingi katika kutekeleza shughuli mbalimbali tangu mwaka 2008. shughuli hizo ni pamoja na miradi ifuatayo:-

1. Utafifi juu ya mtazamo rushwa katika jamii ya Watanzania awamu ya pili

2.Utafiti juu ya mtazamo rushwa awamu ya tatu

3.Raia makini 2010 [Elimu kwa mpiga kura] n.k

Foundation for Civil Society

The foundation for civil society ni shirika ambalo limekuwa likitufadhili katika shughuli tangu mwaka 2009.

Friends of tanzania [FOT]

Friends of Tanzania ni Shirika la hiari kutoka Marekani, limekuwa likitupatia ufadhili tangu mwaka 2008

Muheza Civil Society coalition

Muheza civil societies ni mtandao unaotunganisha mashirika yote ya kiraia katika wiliya ya Muheza, tumekuwa tukishirikia na mtandao huu tangu mwaka 3008.

policy Forum

info@policyforum.or.tz · +255222780200

Tumekuwa mwanachama wa Mtandao huu tangu 2010, tumekuwa tukifaidika kwa namna mbalimbali kwa kuhudhuria mafunzo na mikutano yakupashana habari pamoja na kupatiwa machapisho mbalimbali.

The Developing Rural Community Initiative in Tanzania

Asasi hii tumeanza kushirikiana nayo katika mwaka 2012 kwa kubadlishana uzoefu katika maswala mbalimbali ya kikazi

Mabadiliko Mapya
25 Juni, 2012
23 Mei, 2012
8 Februari, 2012
30 Januari, 2012
1 WOLFGANG T. J. MTENGA MR CHAIRMAN/BOARD CHAIRMN2 ABDULRASHEED M. SEKIANGO MR TREASURER ... Soma zaidi
29 Oktoba, 2011
KUWATAMBUA NA KUWAORODHESHA WATOTO YATIMA; – DRC-in Tanzania kuanzia tarehe 19/03/ -29/07/2011 tumefanya kazi ya kuwatambua na kuorodhesha watoto 20 walioko katika mazingira hatarishi katika vijiji vya kata ya mkuzi wilaya ya Muheza.tunatarajia kuwapatia msaada wa sare za Shule Pamoja na... Soma zaidi
9 Oktoba, 2011
Foundation for Civil Society imejiunga na Envaya.
Sekta: Nyingine (Civil Society)
30 Agosti, 2010