Kuandaa mazingira bora kwa wafugaji wa kuku na jamii za ndege ili waweze kuendeleza shughuli zao za ufugaji na kuboresha kipato chao kwa lengo la kupunguza umaskini.
Latest Updates
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) updated its History page.
Jumuiya ya The Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) ni jumuiya ya wafugaji iliyoanzishwa na wafugaji wakishirikiana na baadhi ya wataalamu wa mifugo. Jumuiya hii ilianzishwa kwa lengo la kuandaa mazingira bora ya ufugaji ili wafugaji hususan wa kuku na jamii za ndege waweze kuendeleza shughuli zao za ufugaji kwa ufanisi... Read more
September 13, 2010
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) updated its home page.
September 13, 2010
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) added a News update.
Mafanikio ya POFADEO – Jumuiya hii tangu ilipoanzishwa imefanya mambo mengi. Jumuiya imewahi kushiriki katika maonyesho mbali mbali yayoandaliwa na The Foundation For Civil Socity ikiwa ni pamoja na yale maonyesho yanayofanyika katika ukumbi wa baraza la wawakilishi Zanzibar, viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,... Read more
September 8, 2010
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) created a History page.
Jumuiya ya The Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) ni jumuiya ya wafugaji iliyoanzishwa na wafugaji wakishirikiana na baadhi ya wataalamu wa mifugo. Jumuiya hii ilianzishwa kwa lengo la kuandaa mazingira bora ya ufugaji ili wafugaji hususan wa kuku na jamii za ndege waweze kuendeleza shughuli zao za ufugaji kwa ufanisi... Read more
September 3, 2010
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) joined Envaya.
August 6, 2010
Sectors
Location
Chake Chake, Pemba South, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations