Kuandaa mazingira bora kwa wafugaji wa kuku na jamii za ndege ili waweze kuendeleza shughuli zao za ufugaji na kuboresha kipato chao kwa lengo la kupunguza umaskini.
Amakuru agezweho
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) hari ibyo yahinduye kuri Amateka paje.
Jumuiya ya The Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) ni jumuiya ya wafugaji iliyoanzishwa na wafugaji wakishirikiana na baadhi ya wataalamu wa mifugo. Jumuiya hii ilianzishwa kwa lengo la kuandaa mazingira bora ya ufugaji ili wafugaji hususan wa kuku na jamii za ndege waweze kuendeleza shughuli zao za ufugaji kwa ufanisi... Soma ibindi
13 Nzeli, 2010
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) yongeye amakuru kuri paje ibanza.
13 Nzeli, 2010
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) yashyizeho Amakuru agezweho.
Mafanikio ya POFADEO – Jumuiya hii tangu ilipoanzishwa imefanya mambo mengi. Jumuiya imewahi kushiriki katika maonyesho mbali mbali yayoandaliwa na The Foundation For Civil Socity ikiwa ni pamoja na yale maonyesho yanayofanyika katika ukumbi wa baraza la wawakilishi Zanzibar, viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,... Soma ibindi
8 Nzeli, 2010
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) yakoze Amateka paje.
Jumuiya ya The Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) ni jumuiya ya wafugaji iliyoanzishwa na wafugaji wakishirikiana na baadhi ya wataalamu wa mifugo. Jumuiya hii ilianzishwa kwa lengo la kuandaa mazingira bora ya ufugaji ili wafugaji hususan wa kuku na jamii za ndege waweze kuendeleza shughuli zao za ufugaji kwa ufanisi... Soma ibindi
3 Nzeli, 2010
Poultry Farmers Development Organization (POFADEO) yasanze Envaya.
6 Kanama, 2010
Ibyiciro
Aho uherereye
Chake Chake, pemba yepfo, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye