Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

wanawake kumiliki ardhi

Mwajuma K. Nambole (Mweka Hazina)
June 14, 2011 at 1:17 PM EAT

kwaville wanawake ni wazalishaji wakuu wanaouwezo wa kumiliki ardhi lakinii kutokana na mila desturi inayotuzunguka au mfumo dume inaomkandamiza mwamke kutomiliki ardhi, je kutokana na kuwepo na uwezo na uelewa unaofanana kati ya mwanamke na mwanamme kunasababu yeyote ya kumnyima mwanamke kumiliki ardhi?


Add New Message

Invite people to participate