Injira
Mwanza Youth and Children Network-MYCN

Mwanza Youth and Children Network-MYCN

Ghana Ilemela, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

kwa nini vijana wengi wa tanzania wana walauum wazazi wa kiumee?

andrew exavery (kahama shinyanga tanzania)
13 Gashyantare, 2014 at 20:38 EAT

je umewahi kujiuliza ni sababu zipi zinawafanya wazazi wengi wa kiume walaume na watoto wao?

Enyorata Education, Youth participation & Tourism Trust (EEYUPAT)
25 Mata, 2014 at 07:01 EAT

mi nafikiri hawajapata ushirikiano mzuri na wazazi wao kwahiyo watoto hao hawajaona msaada wa kutosha kutoka kwa wazazi hao wa kiume

NELSON YOHANA (TUNDURU)
17 Ukwakira, 2014 at 12:45 EAT

Nini kifanyike kuhakikisha watoto na vijana wanapata malezi bora katika familia?


Andika ubutumwa

Tumira abandi mu kiganiro