Fungua
Mwanza Youth and Children Network-MYCN

Mwanza Youth and Children Network-MYCN

Ghana Ilemela, Tanzania

kwa nini vijana wengi wa tanzania wana walauum wazazi wa kiumee?

andrew exavery (kahama shinyanga tanzania)
13 Februari, 2014 20:38 EAT

je umewahi kujiuliza ni sababu zipi zinawafanya wazazi wengi wa kiume walaume na watoto wao?

Enyorata Education, Youth participation & Tourism Trust (EEYUPAT)
25 Aprili, 2014 07:01 EAT

mi nafikiri hawajapata ushirikiano mzuri na wazazi wao kwahiyo watoto hao hawajaona msaada wa kutosha kutoka kwa wazazi hao wa kiume

NELSON YOHANA (TUNDURU)
17 Oktoba, 2014 12:45 EAT

Nini kifanyike kuhakikisha watoto na vijana wanapata malezi bora katika familia?


Ongeza Ujumbe Mpya (Ficha)

Ikipakia...
Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.