Parts of this page are in Swahili. Edit translations
MATANGAZO
- MTWANGONET inawatangazia viongozi wote wa ASASI kuleta mipango kazi ya Asasi zao katika ofisi ya MTWANGONET ili iweze kujumuishwa na ya Manispaa, mwisho tarehe 10/8/2011. kwa maelezo zaidi fika ofisini MTWANGONET siku na saa za kazi.
- Pia MTWANGONET inawatangazia viongozi wa Asasi zote kuja na kusoma tangazo kutoka T-MACK lililo katika mfumo wa barua, tangazo linataka asasi zinazotaka kuwa asasi kiongozi wa mradi wa FAMILY MATTERS mkoa wa Mtwara na Luvuma waombe, tarehe ya mwisho ni 29/07/2011 kwa maelezo zaidi fika ofisini MTWANGONET siku na saa za kazi.
- Wanachama wote ambao bado hamjamaliza au mnadaiwa ada za uanachama mnakumbushwa kulipa kama katiba inavyotaka.
July 23, 2011
Comments (1)