Fungua
Mrumate Disabled Centre

Mrumate Disabled Centre

Arusha, Tanzania

Mrumate Disabled Centre imeweza kujiunga na Asasi nyingine zilizoko hapa Arusha na pia Kilimanjaro, Dar er Salaam. Kwa Arusha tumejiunga na ANGONET

Kilimanjaro: WODEF [TZ] Dar es Salaam : TEN/MET

11 Januari, 2011
Ifuatayo »

Maoni (2)

[maoni yamefutwa]
Felix Chuwa alisema:
Mrumate Disabled Centre ina mpango wa kushirikiana Chama cha Wagonjwa wa Sukari Tanzania - Tanzania Diabetes Association [ TDA] Chama cha TDA kinashirikiana pia na Handicap International kuendesha program ya kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa sukari kwa kasi katika wilaya za Arusha, Arumeru na Monduli, kwa hiyo Asasi yetu itashiriki katika uelimishaji ndani ya jamii inayotuzunguka.
19 Januari, 2011
Felix Chuwa - Coordinator alisema:
MRUMATE DISABLED CENTRE: Imejiunga pia na kikundi cha walemavu kijulikanacho kwa jina la DDG yaani Disabled Development Group: Makao makuu ya DDG yapo Mtaa wa Kaloleni Jijini Arusha.
25 Januari, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.