- Kuazisha na kuendeleza shughuli mbali mbali za kimaendeleo kwa manufaa ya jamii na wana jumuiya.
- kuendeleza ujenzi wa miundo mbinu ya shehia.
- Kuendeleza na kuboresha huduma za Afya,maabara,maji safi na salama.
- Kukuza viwago vya Elimu kwa kuendeleza shughuli za ujenzi wa madarasa,vikalio na shughuli nyengine za kimaendeleo.
- Kutoa elimu zikiwemo za kuhifadhi Mazingira,HIV/AIDs na n.k.
- Kuendeleza na kuazisha shughuli za kiuchumi na kuhakikisha jamii inafaidika na rasilimali zilizowazunguuka.
- Kuendeleza na kuimarisha urafiki na mashirika,NGOs na CBOs za ndani na nje ya Tanzania.
Mabadiliko Mapya

Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE) imeongeza Habari 3.
Eneo hili liliku kama linavoonekana ni chafu,mifuko na chupa za plastic zikizagaa bila ya mpango kabla ya kuundwa kwa jumuiya ya MCAEE 2008
23 Novemba, 2010
Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE) imeumba ukurasa wa Timu.
Uongozi wa MCAEE ni kama unavyoonekana hapo chini – Bakar Jaha Muhidin - mwenyekiti wa MCAEE – Hoja Mweleza Haji - makamo mwenyekiti MCAEE – Idrisa Ali Mati - katibu wa MCAEE – Juma Makungu - makamo katibu MCAEE – Chumu Nyange - mshika fedha... Soma zaidi
23 Novemba, 2010
Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE) imeumba ukurasa wa Miradi.
MCAEE ni community based organization (CBO) na inajishughulish na miradi vile elimu ya ukimwi na mazingira pamoja na kazinyengine za kijamii yakiwemo maji safi na salama. – Kwa sasa MCAEE inategemea kuazisha mradi wa Community Based Tourism ambayo itaenda sambamba na hifadhi ya misitu ya asili na wanyama pori kama vile paa (dear)... Soma zaidi
23 Novemba, 2010
Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE) imejiunga na Envaya.
21 Novemba, 2010
Sekta
Sehemu
Unguja Kaskazini, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu