Log in
Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE)

Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE)

Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

MCAEE ni community  based organization (CBO) na inajishughulish na miradi vile elimu ya ukimwi na mazingira pamoja na kazinyengine za kijamii yakiwemo maji safi na salama.

Kwa sasa MCAEE inategemea kuazisha mradi wa Community Based Tourism ambayo itaenda sambamba na hifadhi ya misitu ya asili na wanyama pori kama vile paa (dear) na ufugaji nyuki.Taari wameshazungumza na jamii na imeshapeleka barua ya kupata baraka za Serikali ya Zanzibar kupitia idara husika .

Mradi huu unategemea kuwanufaisha jamii iliyo zuguukwa na mradi huu kwani watalii na jamii watakwenda kuangalia misitu ya asili na shughuli nyengine zinazofanyika.

WAFADHILI:

Mradi una tafuta wafadhili wa kuendesha mradi huu,tunapokea ufadhili wa aina zote utakaoufanya mradi uendelee.Kwa hivyo wadau mbalimbali wakiwemo mashirika ya umma,CBOs,NGOs,secter binafsi, makampuni,serikalina watu wa kawaida wanaoweza kusaidia mradi huu tunawakaribisha.

kwa mawasiliano:-

Email: mcaee@hotmail.com 

        fakijaha@live.com

mobile phone: +255(0)773077209