Injira
Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE)

Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE)

Tanzania

  •  Kuazisha na kuendeleza shughuli mbali mbali za kimaendeleo kwa manufaa ya jamii na wana jumuiya.
  • kuendeleza ujenzi wa miundo mbinu ya shehia.
  • Kuendeleza na kuboresha huduma za Afya,maabara,maji safi na salama.
  • Kukuza viwago vya Elimu kwa kuendeleza shughuli za ujenzi wa madarasa,vikalio na shughuli nyengine za kimaendeleo.
  • Kutoa elimu zikiwemo za kuhifadhi Mazingira,HIV/AIDs na n.k.
  • Kuendeleza na kuazisha shughuli za kiuchumi na kuhakikisha jamii inafaidika na rasilimali zilizowazunguuka.
  • Kuendeleza na kuimarisha urafiki na mashirika,NGOs na CBOs za ndani na nje ya Tanzania.

 

Amakuru agezweho
Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE) yongeyeho 3 Amakuru agezweho.
Eneo hili liliku kama linavoonekana ni chafu,mifuko na chupa za plastic zikizagaa bila ya mpango kabla ya kuundwa kwa jumuiya ya MCAEE 2008
23 Ugushyingo, 2010
Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE) yakoze Ikipe paje.
Uongozi wa MCAEE ni kama unavyoonekana hapo chini – Bakar Jaha Muhidin - mwenyekiti wa MCAEE – Hoja Mweleza Haji - makamo mwenyekiti MCAEE – Idrisa Ali Mati - katibu wa MCAEE – Juma Makungu - makamo katibu MCAEE – Chumu Nyange - mshika fedha... Soma ibindi
23 Ugushyingo, 2010
Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE) yakoze Imishinga paje.
MCAEE ni community based organization (CBO) na inajishughulish na miradi vile elimu ya ukimwi na mazingira pamoja na kazinyengine za kijamii yakiwemo maji safi na salama. – Kwa sasa MCAEE inategemea kuazisha mradi wa Community Based Tourism ambayo itaenda sambamba na hifadhi ya misitu ya asili na wanyama pori kama vile paa (dear)... Soma ibindi
23 Ugushyingo, 2010
Matemwe Control HIV/AIDS, Education and Environment (MCAEE) yasanze Envaya.
21 Ugushyingo, 2010
Ibyiciro
Aho uherereye
Zanzibar y'amajyaruguru, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye