Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Kushirikisha jamii kusaidia watoto yatima na walio katika mazingira magumu

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
June 18, 2011 at 11:13 AM EAT

kutoa elimu kwa kamati za kuhuduma za jamii kujua matumizi ya daftari ya fedha

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
June 18, 2011 at 11:18 AM EAT (edited March 26, 2012 at 8:06 AM EAT)

Kutokana na mradi huu tumeweza kushirikisha Halmashauri ya wilaya, watendaji wa kata na madiwani na kupeana mikakati na wajibu wa kila mmoja ili kuhakikisha makundi yalio katika hatari ya kuathiriwa na umasikini yanasaidiwa.

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
June 18, 2011 at 11:21 AM EAT (edited March 26, 2012 at 8:06 AM EAT)

Mikakati yetu kuhakikisha jamii inaelimika na kuanza kuchangia makundi ya kijamii yalio katika hatari ya kuathiriwa na umasikini

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
June 18, 2011 at 11:23 AM EAT (edited March 26, 2012 at 8:06 AM EAT)

Watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi wanapata haki za msingi ikiwa ni elimu, afya na huduma nyingine za msingi

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
June 18, 2011 at 11:26 AM EAT (edited March 26, 2012 at 8:06 AM EAT)

Kuhakisha watoto yatima na walio katika mazingira magumu wanaenda shuleni na kuhudhuria masomo

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
June 18, 2011 at 11:28 AM EAT (edited March 26, 2012 at 8:06 AM EAT)

Kuhakikisha watoto yatima na walio katika mazingira hmagumu wanapata huduma ya afya

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
June 18, 2011 at 11:30 AM EAT (edited March 26, 2012 at 8:06 AM EAT)

Ni kuhakikiasha watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi wanapata chakula


Add New Message (Hide)

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.