Fungua
Kikundi cha Maendeleo Kuchele  Kijiji cha Mtopwa

Kikundi cha Maendeleo Kuchele Kijiji cha Mtopwa

Mtopwa, Tanzania

Kupambana na umaskini miongoni mwa jamii.

Mabadiliko Mapya
Kikundi cha Maendeleo Kuchele Kijiji cha Mtopwa imeongeza Habari.
Kuchele Mtopwa imeandika Maombi kwa ajili ya kuendesha Mafunzo ya Utawala Bora kwa viongozi wa Asasi 100;viongozi 84 toka Serikali za vijiji tano vya Kata ya Mtopwa na wajumbe 16 toka makundi ya watu wenye ulemavu katika kata ya Mtopwa kwenye Shirika la The Foundation For... Soma zaidi
19 Oktoba, 2010
Kikundi cha Maendeleo Kuchele Kijiji cha Mtopwa imeumba ukurasa wa Miradi.
Kuelimisha jamii juu ya kujikinga na maabukizi mapya ya virusi vya UKIMWI,kuanzisha kituo cha uchunguzi wa magonjwa yatokanayo na kujamiana Mradi ulifadhiliwa na TACOSODE Kupitia ruzuku ya NACP kwa kiasi cha fedha za Kitanzania shilingi Milioni Nne na... Soma zaidi
15 Septemba, 2010
Kikundi cha Maendeleo Kuchele Kijiji cha Mtopwa imeumba ukurasa wa Historia.
Kuchele Mtopwa ilianzishwa tarehe 10 Mei 1997 na ilisajiliwa rasmi mnamo tarehe 16 Mwezi oktoba 1998 Katika ofisi ya Makao makuu Wizara ya mambo ya ndani ya nchi jijini Dar es Salaam na kupata cheti cha usajili na SO 9601
15 Septemba, 2010
Kikundi cha Maendeleo Kuchele Kijiji cha Mtopwa imejiunga na Envaya.
15 Septemba, 2010
Sekta
Sehemu
Mtopwa, Mtwara, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu