Log in
Umoja wa Wawezeshaji Kioo

Umoja wa Wawezeshaji Kioo

Ilagala, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

HIVI NI HALALI KUWAFUKUZA WABUNGE NJE YA BUNGE?

Edward (Ilagala)
July 28, 2011 at 10:52 PM EAT

Hivi karibuni kumetokea suala ambalo halikuwa limezoeleka katika masikio yetu watanzania ya kutoana nje ya Bunge kwa nguvu licha ya hata kusikia nini mtu huyo alitaka kusema hivi nduguzanguni ninyi mnaojua mambo zaidi ni sawa?

Ahmed Kipozi (Dar-es-salaam, )
July 28, 2011 at 11:27 PM EAT (edited March 26, 2012 at 8:06 AM EAT)

Ninavyo fahamu mimi ni kwamba kama Mbunge au wabunge wanavunja kanuni za bunge (kwa mfano kumkatisha mbunge anae zungumza bila ruhusa ya Muheshimiwa Spika au mwenye kiti) basi mwenyekiti anayo mamlaka ya kumfukuza nje ya bunge hata nje ya eneo la bunge, ikiwa ametumia lugha ya shari na kadhalika..


Add New Message

Invite people to participate