Fungua
Umoja wa Wawezeshaji Kioo

Umoja wa Wawezeshaji Kioo

Ilagala, Tanzania

Hili ni boti lililotumika kubebea mbolea ya ruzuku ambayo iliuzwa na viongozi wa kijiji cha Nyahoza katika halmashauri ya wilaya ya Kigoma.Hii ilithibitika baada ya timu ya ufuatiliaji kuwahoji wananchi na kutokana na mwamko walioupata wakafichua kila kitu ndipo picha hizi zilipopatikana.

8 Machi, 2011
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.