
Darasa hili licha ya kutumia fedha nyingi za serikali sasa limebomoka maana lilijengwa chini ya viwango, watoto waliokuwa wakisoma katika darasa hili wamekaa nyumbani wakisubiri marekebisho yafanyike.
21 Machi, 2011
Umoja wa Wawezeshaji KiooIlagala, Tanzania |

Darasa hili licha ya kutumia fedha nyingi za serikali sasa limebomoka maana lilijengwa chini ya viwango, watoto waliokuwa wakisoma katika darasa hili wamekaa nyumbani wakisubiri marekebisho yafanyike.