Log in
Umoja wa Wawezeshaji Kioo

Umoja wa Wawezeshaji Kioo

Ilagala, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Mojawapo ya mikutano ya mdahalo iliyoendeshwa na shirika la KIOO katika Halmashauri ya wililaya ya Kigoma kujadiliana juu ya changamoto juu ya upangaji wa mipango ambao umeperekea matumizi mapaya ya rasilimali za umma hasa fedha. Mfano Katika kijiji cha Ilagala barabara iendayo sambala haikutengenezwa kabisa licha ya kuoneshwa kwenye taarifa kuwa imetengenezwa.

March 21, 2011
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.