Hii picha ya Pamoja kati ya Mkurugenzi wa Kijogoo Group for Community Development Bwana Ramadhan Omary aliye chuchumaa mbele Akiwa na timu ya UUJ/SAM iliyotokana na mafunzo yaliyotolewa na shirika hilo Wilayani Ulanga .Wajumbe hao Wametoka Kata za Nawenge na Msogezi
5 Mei, 2016