Envaya

large.jpg

Hii picha ya Pamoja kati ya Mkurugenzi wa Kijogoo Group for Community Development Bwana Ramadhan Omary aliye chuchumaa mbele Akiwa na timu ya UUJ/SAM iliyotokana na mafunzo yaliyotolewa na shirika hilo Wilayani Ulanga .Wajumbe hao Wametoka Kata za Nawenge na Msogezi

5 Mei, 2016
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.