kuwakomboa wakulima,wafugaji na wanamazingira katika kujiletea maendeleo endelevu kwa lengo la kupunguza umaskini
Mabadiliko Mapya
jumuiya ya wakulima,wafugaji na mazingira jimbo la uzini imeongeza Habari.
Mkurugenzi afisi ya makamo wa pili wa Rais wa serikali ya mapinduzi Zanzibar Issa Ibrahim Mahmoud akifungua Mkutano Mkuuwa Vikundi vya wakulima Zanzibar tarehe 30/07/2011
8 Agosti, 2011

jumuiya ya wakulima,wafugaji na mazingira jimbo la uzini imeongeza Habari 7.
Makamu Mwenyekiti wa MVIWATA Zanzibar Bw. Makame Ali Makame, akizungumza kwenye mkutano mkuu wa MVIWATA Zanzibar 2009
7 Juni, 2011
jumuiya ya wakulima,wafugaji na mazingira jimbo la uzini imeumba ukurasa wa Timu.
ALI OMAR MRISHO MWENYEKITI – MAKAME ALI MAKAME MSAIDIZI MWENYEKITI – HALIMA IDRISSA KASSIM KATIBU – SILIMA ALI HAJI MSHIKA FEDHA – HAJI USSI HAJI MRATIBU
26 Mei, 2011
jumuiya ya wakulima,wafugaji na mazingira jimbo la uzini imeumba ukurasa wa Miradi.
miradi mitatu – 1) foundation for civil siety sera ya kilmo – 2) farm africa uimarishaji wa vikundi na lishe ya wanyama(UMMB) – 3) SERIKALINI elimu ya ukulima na ujasiria mali, akiba na mikopo ...
26 Mei, 2011
jumuiya ya wakulima,wafugaji na mazingira jimbo la uzini imeumba ukurasa wa Historia.
Jumuiya imeanza shughuli zake 2004 na kusajiliwa 2005, inawanachama wa vikundi vy ushirika 52 na wanachama halisi ni 124.
26 Mei, 2011
jumuiya ya wakulima,wafugaji na mazingira jimbo la uzini imejiunga na Envaya.
26 Mei, 2011
Sekta
Sehemu
zanzibar, Unguja Mjini Magharibi, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu