Envaya

Mkurugenzi afisi ya makamo wa pili wa Rais wa serikali ya mapinduzi Zanzibar  Issa Ibrahim Mahmoud akifungua Mkutano Mkuuwa Vikundi vya wakulima Zanzibar tarehe 30/07/2011

large.jpg

Makamu Mwenyekiti wa MVIWATA Zanzibar Bw. Makame Ali Makame, akizungumza kwenye mkutano mkuu wa MVIWATA Zanzibar 2009

large.jpg

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Bw. Khalid Mohamed akifungua mkutano Mkuu wa MVIWATA Zanzibar 2009

large.jpg

Aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Zanzibar Bw. Shams Vuai Nahodha, akishiriki katika uzinduzi mavuno ya kunde katika shamba la kikundi cha wakulima 2010

large.jpg

Viongozi wa Mtandao wa Vikundi vya Wakulima (MVIWATA)Zanzibar wakiwa na Afisa Kilimo, walipotembelea shamba la mpunga la kikundi

large.jpg

Mkulima wa Jimbo la Uzini akimwagilia bustani mbogamboga

large.jpg

Mwanakikundi wa Jumuiya akiwa kwenye bango linaloelekeza ziliko ofisi za Jumuiya

large.jpg

Zao la Bilinganya