Envaya

HakiElimu

WAJIBU WA JAMII KATIKA ELIMU

WAJIBU WA JAMII KATIKA ELIMU

Mara kwa mara sisi kama wanajamii tumekuwa wepesi kuona mapungufu ya Serikali katika kutimiza wajibu wake katika elimu ni jambo jema kwani ni moja ya majukumu yetu lakini je na sisi tumeshawahi kujiuliza nini wajibu wetu kama jamii katika maendeleo ya Elimu nchini Tanzania. Usikose kipindi hiki cha Tafakari Time kitakachorushwa leo 23/11/2012 saa 1 usiku na ITV.
Views: 0
0 ratings
Time: 00:54 More in Nonprofits & Activism
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.