Usikose kutizama kipindi cha TAFAKARI kutoka Shirika la HakiELimu kitakachorushwa katika Televisheni ya ITV siku ya Ijumaa saa moja Usiku ambapo tutaangazia Mtizamo wa Jamii kuhusu wanafunzi wanaopanga nyumba mitaani maarufu kama Gheto. Tizama kionjo hapa http://bit.ly/MEKfYC
20 Juni, 2012