Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Mwananchi wa Mriti ambaye ni miongoni mwa wajasilia mali wa vikundi vya kuweka na kukopa akitoa shukrani kwa viongozi wa shirika la Mzeituni Foundation kwa kuwawakirisha wanakikundi wenzake baada ya kukabidhiwa sanduku kwa ajili ya kikundi chao na kuongeza kusema wao wataendeleza kikundi chao kwa kufuata mafunzo yaliytolewa na shirika hilo kwa ufadhili wa shirika la kiswideni la Forum syd katika kata yao.
March 10, 2011