Envaya

 

Mwananchi  wa Mriti ambaye ni miongoni mwa wajasilia mali wa vikundi vya kuweka na kukopa akitoa shukrani kwa viongozi wa shirika la Mzeituni Foundation kwa kuwawakirisha wanakikundi wenzake baada ya kukabidhiwa sanduku kwa ajili ya kikundi chao na kuongeza kusema wao wataendeleza kikundi chao kwa kufuata mafunzo yaliytolewa na shirika hilo kwa ufadhili wa shirika la kiswideni la Forum syd katika kata yao.

10 Machi, 2011
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.