Fungua
ELDERS FOR THE PREVENTION OF AIDS-UKIMWI

ELDERS FOR THE PREVENTION OF AIDS-UKIMWI

Masasi, Tanzania

Habari.Heri ya mwaka mpya wa 2015. Mwaka huu asasi yetu imekusudia kuendelea na mipango ya mwaka uliopita.Mipango na mikakati hii imelenga kuona kuwa jamii lengwa inapatiwa huduma stahiki.Hivyo ni wito wetu kwa wadau na wanaharakati wenzetu kutuunga mkono.Karibuni sana.
10 Februari, 2015
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.