Fungua
ELDERS FOR THE PREVENTION OF AIDS-UKIMWI

ELDERS FOR THE PREVENTION OF AIDS-UKIMWI

Masasi, Tanzania

Epa-ukimwi imefanikiwa kuwakutanisha watoa huduma majumbani wa kata 3 za mji wa Masasi na kuwapatia mafunzo ya rejea ya utoaji wa huduma kwa waathirika wa maambukizi ya virusi vya ukimwi. Hii ilifanywa ili kusaidia juhudi zinazofanywa na serikali kupitia kitengo cha CTC katika hospitali ya Mkomaindo.
9 Septemba, 2014
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.