Waandishi wa habari mkoani Mbeya wakijadili changamoto za wananchi wanaoishi pembezoni vijijini, wakati wa ziara yao ya Chunya, ambako walikaa siku tatu wakiishi katika mahema.
Baadhi ya waandishi wa habari wa mkoa wa Mbeya wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mlima wa Kawetere, wakitokea Lupatingatinga wilayanI Chunya.
Matumizi ya kuni yanapo kithiri. ELIMISHA: Inaendele kuelimisha jamii kupunguza matumizi ya kuni ili kuokoa mazingira.
Tranditinal Dunce
Nyakyusa tribe: This culture is found in Rungwe District, Mbeya Region. |
From:
elimishatz
Views:
1
![]() ![]() ![]() ![]() ![]() 0
ratings | |
Time: 03:02 | More in Entertainment |
FCS Narrative Report
Introduction
Dates: Julai 07,2011 | Quarter(s): Septemba 17,2011 |
Project Description
2.Asasi ya ELIMISHA imeandaa mpango mkakati wake wa kipindi cha miaka mitatu (3) kwanzia 2012, 2013 na 2014 ambao utawezesha kufanya shughuli za asasi kwa ufanisi.
Region | District | Ward | Villages | Total Beneficiaries |
---|---|---|---|---|
Mbeya | ||||
Mbeya | Viongozi na wanachama 16 wa asasi ya ELIMISHA |
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | |
---|---|---|
Female | 9 | (No Response) |
Male | 11 | (No Response) |
Total | 20 | (No Response) |
Project Outputs and Activities
2.Uwepo wa mpango mkakati wa asasi wa miaka mitatu ifikapo Septemba 2011
2.Kuitisha na kufanya warsha ya siku 4 ikihusisha wadau na wanachama wa 16 katika kuandaa mpango mkakati wa asasi.
2.Ilifanyika kazi ya kutoa taarifa kwa walengwa na kuandaa warasha ya siku nne (4) ambayo yalifanyika katika ukumbi wa Royal Tughimbe Hotel tarehe Oktoba 02,2011-Oktoba 05,2011 ikihusisha wananchama na wadau kwa ajili ya kuandaa mpango mkakati wa asasi wa miaka mitatu kwanzia 2012, 2013 na 2014.
2.Katika shughuli ya pili ya kuandaa mpango mkakati mkakati zilitumika jula y ash. 2,635,400/=
Project Outcomes and Impact
2.Uwepo wa mpango mkakati wa asasi wa miaka mitatu ifikapo Septemba 2011.
2.Kumekuwepo na miongozo ya fedha.
3.Mpango mkakati wa miaka mitatu umepatikana.
2.Wengine tayari wameanzisha miradi na wanaendelea kuisimamia bila vikwazo vya kutojua hesabu kama ilivyokuwa hapo awali.
Lessons Learned
Explanation |
---|
Njia ya kuibua miradi |
Kutambua tatizo linaloikabiori Jamii lengwa |
Kuchanganua wazo la mradi kwa kutumia NUFUVI(SWOT). |
Mahitaji ya Utelezaji wa Mradi. |
Ufadhili wa Ndani na Nje. |
Uandishi bora wa Mradi |
Challenges
Challenge | How it was overcome |
---|---|
Siku za mafunzo zilikuwa ndogo kutokana na bajeji | Tuliongeza muda wa ziada |
Linkages
Stakeholder | How you worked with them |
---|---|
1.AMANI THE FOUNDATION OF THE LIFE | Tulishirikiana nao namna ya kuandaa mpango mkakati wa asasi wa miaka mitatu |
2.Viongozi wa chama cha viziwi mkoa wa Mbeya (CHAVITA) | Mchango wa mawazo yao ulisaidia sana katika uandaji wa mpango makakati. |
3.Mtu wa idara ya mipnago na maendeleo ya jamii kutoka wilaya ya Mbozi | Mchango wake ulikuwa mkubwa kutokana na uzoefu wake wa masuala ya jamii ambao ndio walengwa wa mpango mkakati wa asasi yetu |
4.KALANGALI AGRICULTURAL AND ENVIRONMENTAL ADVOCACY | Mawazo yao yalikuwa ni muhimu sana katika kuandaa mpango mkakati |
Future Plans
Beneficiaries Reached
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | ||
---|---|---|---|
Widows | Female | 1 | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | 1 | (No Response) | |
People living with HIV/AIDS | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Elderly | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | 2 | (No Response) | |
Total | 2 | 0 | |
Orphans | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Children | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Disabled | Female | 2 | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | 2 | (No Response) | |
Youth | Female | 11 | (No Response) |
Male | 9 | (No Response) | |
Total | 20 | 0 | |
Other | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) |
Events Attended
Type of Event | When | Lessons | Actions Taken |
---|---|---|---|
Mafunzo ya Usimamizi wa Ruzuku (MYG) | June 26-Julai 01, 2011 | 1.Upangaji na usimamizi wa miradi 2.Bao mantiki kama zana ya kupanga na kufuatilia utekelezaji wa mradi 3.Mpango kazi 4.Ufuatiliaji & Tathmini 5.Taarifa ya utekelezaji 6.Usimamizi wa fedha 7.Uandishi wa taarifa ya fedha. | Kuandaa mafunzo kwa ajili ya kufikisha elimu hiyo kwa wanachama na viongozi wengine katika asasi yetu. |
Attachments
Washiriki wa mafunzo ya kujenga uwezo kwa wana Asasi ya ELIMISHA Mbeya.
Washiriki wa mafunzo ya kujenga uwezo kwa wanachama wa Asasi ya ELIMISHA Mbeya kwa ufadhili wa The Foundation For Civil Society.
Mshiriki wa mafunzo ya uongozi na utawala wa asasi ya ELIMISHA Mbeya Bi.Kissa Mwalukindi akiwasilisha kazi za vikundi.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya kujenga uwezo kwa wanachama wa asasi ya ELIMISHA Bi.Devotha Kalibule akiwasilisha kazi za vikundi.