-Kuhamasisha maendeleo ya vijana na wananchi juu ya mabadiliko ya kitabia-katika Elimu rika
-Kuhamasisha jamii kupambana na magonjwa ya kuambukizwa na kushauri jamii kisaikolojia(moral counselling).
-Kuhimiza elimu ya ujasiliamali kwa vijana pamoja na wanawake.
-Kuhimiza miradi ya kuanzisha kipato
-Kuhimiza maswala ya kiroho katika jamii
-Kuanzisha vituo vya watoto wadogo -nursery na awali.
Mabadiliko Mapya
EBENEZER COMPASSION VISION imeumba ukurasa wa Timu.
Mkurugenzi -Vedasto V.Peter – KATIBU-Danstan Paul – MWEKA HAZINA -Coletha Vedasto – Mshauri Vijana na kiroho-Aron Abel – Mshauri wanawake na jinsia-Lea Kamugisha – Mshauri programu na miradi-Fabian Mohamba
16 Agosti, 2012
EBENEZER COMPASSION VISION imeumba ukurasa wa Historia.
Shirika la EBENCOV -Ebenezer Conpassion Vision lilianzishwa mwaka 2011 nakuandikishwa na taasisi za usajili Shirika lilianza kwa ajili ya kusaidia vijana na watoto walio katika mazingira magumu; hi ikiwa ni pamoja na kutoa ushauri kwa vijana kuhusiana na kupambana na madawa ya kulewa. – Shirika... Soma zaidi
16 Agosti, 2012
EBENEZER COMPASSION VISION imejiunga na Envaya.
16 Agosti, 2012
Sekta
Sehemu
Muleba, Kagera, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu