Mashirika ya Ubia
Mabadiliko Mapya
Tupendane Group -- Dodoma imeongeza Habari.
25/06/2010 – MATATIZO YA KIKUNDI – Wanachama tulitukutana kujadili tatizo la UKOSEFU WA OFISI YA KIKUNDI. – Kwani mpaka sasa shughuli zote za kikundi zinafanyika SEBULENI kwa Mwenyekiti hivyo kupunguza ufanisi wa... Soma zaidi
26 Julai, 2010
Tupendane Group -- Dodoma imeongeza Habari.
10/06/2010 – Wanakikundi wa TUPENDANE walimtembelea bwana KIKA MJATA mzalishaji wa mafuta ya Ubuyu.Tuliweza kuona hatua kwa hatua za uzalishaji wa mafuta hayo,ambayo yamethibitika kuongeza idadi ta CD4 kwa haraka sana na kupunguza idadi ya VVU mwilini.
26 Julai, 2010
Tupendane Group -- Dodoma imeongeza Habari.
05/06/2010 – Wanachama walikutana kuangalia uwezekanowa kuanzisha mradi wa pamoja ili waweze kujikimu na ugumu wa maisha. – Kwani mpaka sasa tuna miradi ya mtu mmoja mmoja inayotuwezesha kujikimu na ugumu wa maisha.Kuna wanakikundi wanaofanya shughuli mbalimbali kama – 1:Ushonaji – 2:Mama... Soma zaidi
26 Julai, 2010
Tupendane Group -- Dodoma imehariri ukurasa wa Timu.
Dora Mwaluko – Mwenyekiti – Susan Segu – Katibu – Nasoro Ramadhani – Muweka Hazina – Mrs B Adam – Mlezi ... Soma zaidi
23 Julai, 2010
Tupendane Group -- Dodoma imehariri ukurasa wa Miradi.
Kwa sasa tunajihusisha na kushona, kupika vitumbua na kuuza nguo za mitumba. Hivi ndivyo tunajikimu kwa sasa.
13 Julai, 2010
Tupendane Group -- Dodoma imehariri ukurasa wa Historia.
Kikundi hiki kimeundwa na wanawake walio athirika na Virusi vya ukimwi. Baada ya kugundua hali zetu mbaya za kiafya mwaka 2006 ndipo tulipo amua kuanzisha kikundi hiki. Mwezi February tarehe 9 mwaka jana ndipo tulipo pata usajili wa kuwa NGO rasmi. – Kwakuwa kikundi chetu kilikuwa ni kichanga, hatukujua namna sahihi ya kupata ruzuku.... Soma zaidi
13 Julai, 2010
Tupendane Group -- Dodoma imeongeza Habari.
tarehe 25/04/2010 – kulitokea msakowa wafanya biashara ndogo ndogo katika manispaa ya dodoma .Hii ilikuwa imelengwa kwa watu wote ambao wanafanya biashara katika kituo cha mabasi ya usafirishaji mjini (Daladala) – Miongoni mwa waathirika katika zoezi hili walikuwepo wanachama wa kikundi chetu ambao wanafanya biashara ya samaki,nguo,viatu na... Soma zaidi
9 Juni, 2010
Tupendane Group -- Dodoma imeongeza Habari.
Mkuu wa TUPENDANEGROUP anaumwa macho kutokana na kuathirika. Ameshauriwa kuenda Hospitali ya MVUMI ADMISSION HOSPITAL ili kupata matibabu. Sisi wenzake wa TUPENDANE GROUP tunamuombea apone haraka ili shughuli za tupendane ziendelee.
21 Aprili, 2010