Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
Community On Social and Economic Development
Mwanza, Tanzania
Mkuu
Habari
Mawasiliano
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza.
Hariri tafsiri
10 Juni, 2011
Maoni (2)
Community On Social and Economic Development
alisema:
SOME OF CSED BOARD MEMBERS WITH STREET CHILDREN AFTER A LUNCHEON AT ROCKBEACH HOTEL MWANZA
10 Juni, 2011
mariamsaid (sinza) alisema:
Zenna vipi za masiku natumaini upo mzima.
mimi dadake mkubwa wa rashidi wa hapa Sinza.familia ya mohammed.nimesikia unaishi hapa hoteli Mwika.
nilitaka tushauriane kuhusu jambo fulani.nimekuona hivi ukiwa na jamaa mmoja mweusi. nimeulizia nikapata habari unamahusiano na yule jamaa.
dadangu kwa hisani nakuomba uyasikie.yule aliwahi kutembea na khadija mwenye duka la nguo hapo stendi ambaye ameaga hivi majuzi kutokana na
virusi, ametembea na Asha, Pinky na visichana vya shule vidogo vidogo vya st.augustin university pale mza. yeye nimeskia ni career yeye kazi ni
kuambukiza na kuwacha mabinti wakifa na virusi. nimepata habari amefungua biashara na anafanya utapeli wa hali ya juu pale mjini mza.kuwa makini
dada dunia imebadilika.
dada nakuombea mola usije kaambukizwa.ya mola makubwa muombe aturehemu sote jamani ya dunia ni mengi.
wasalimu ndugu zako wote.
mariamu.
30 Novemba, 2012
Ongeza maoni
Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.
Chapisha maoni
Sambaza:
Barua pepe
Facebook
Twitter
Google+
Maoni (2)
mimi dadake mkubwa wa rashidi wa hapa Sinza.familia ya mohammed.nimesikia unaishi hapa hoteli Mwika.
nilitaka tushauriane kuhusu jambo fulani.nimekuona hivi ukiwa na jamaa mmoja mweusi. nimeulizia nikapata habari unamahusiano na yule jamaa.
dadangu kwa hisani nakuomba uyasikie.yule aliwahi kutembea na khadija mwenye duka la nguo hapo stendi ambaye ameaga hivi majuzi kutokana na
virusi, ametembea na Asha, Pinky na visichana vya shule vidogo vidogo vya st.augustin university pale mza. yeye nimeskia ni career yeye kazi ni
kuambukiza na kuwacha mabinti wakifa na virusi. nimepata habari amefungua biashara na anafanya utapeli wa hali ya juu pale mjini mza.kuwa makini
dada dunia imebadilika.
dada nakuombea mola usije kaambukizwa.ya mola makubwa muombe aturehemu sote jamani ya dunia ni mengi.
wasalimu ndugu zako wote.
mariamu.