Fungua
Community On Social and Economic Development

Community On Social and Economic Development

Mwanza, Tanzania

Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

10 Juni, 2011

Maoni (2)

SOME OF CSED BOARD MEMBERS WITH STREET CHILDREN AFTER A LUNCHEON AT ROCKBEACH HOTEL MWANZA
10 Juni, 2011
mariamsaid (sinza) alisema:
Zenna vipi za masiku natumaini upo mzima.

mimi dadake mkubwa wa rashidi wa hapa Sinza.familia ya mohammed.nimesikia unaishi hapa hoteli Mwika.

nilitaka tushauriane kuhusu jambo fulani.nimekuona hivi ukiwa na jamaa mmoja mweusi. nimeulizia nikapata habari unamahusiano na yule jamaa.

dadangu kwa hisani nakuomba uyasikie.yule aliwahi kutembea na khadija mwenye duka la nguo hapo stendi ambaye ameaga hivi majuzi kutokana na

virusi, ametembea na Asha, Pinky na visichana vya shule vidogo vidogo vya st.augustin university pale mza. yeye nimeskia ni career yeye kazi ni

kuambukiza na kuwacha mabinti wakifa na virusi. nimepata habari amefungua biashara na anafanya utapeli wa hali ya juu pale mjini mza.kuwa makini

dada dunia imebadilika.


dada nakuombea mola usije kaambukizwa.ya mola makubwa muombe aturehemu sote jamani ya dunia ni mengi.

wasalimu ndugu zako wote.

mariamu.
30 Novemba, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.