Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

10 Kamena, 2011

Ibitekerezo (2)

SOME OF CSED BOARD MEMBERS WITH STREET CHILDREN AFTER A LUNCHEON AT ROCKBEACH HOTEL MWANZA
10 Kamena, 2011
mariamsaid (sinza) bavuzeko
Zenna vipi za masiku natumaini upo mzima.

mimi dadake mkubwa wa rashidi wa hapa Sinza.familia ya mohammed.nimesikia unaishi hapa hoteli Mwika.

nilitaka tushauriane kuhusu jambo fulani.nimekuona hivi ukiwa na jamaa mmoja mweusi. nimeulizia nikapata habari unamahusiano na yule jamaa.

dadangu kwa hisani nakuomba uyasikie.yule aliwahi kutembea na khadija mwenye duka la nguo hapo stendi ambaye ameaga hivi majuzi kutokana na

virusi, ametembea na Asha, Pinky na visichana vya shule vidogo vidogo vya st.augustin university pale mza. yeye nimeskia ni career yeye kazi ni

kuambukiza na kuwacha mabinti wakifa na virusi. nimepata habari amefungua biashara na anafanya utapeli wa hali ya juu pale mjini mza.kuwa makini

dada dunia imebadilika.


dada nakuombea mola usije kaambukizwa.ya mola makubwa muombe aturehemu sote jamani ya dunia ni mengi.

wasalimu ndugu zako wote.

mariamu.
30 Ugushyingo, 2012

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.