mgeni rasmi mheshimiwa diwani Rajab hussein kata makurumlma akimwakilisha mh mstahiki meya wa manipsaa a kinondoni
mwenyekiti akitoa maelezo kuhusu siku ya CP Duniani -world CP Day 2/10/2013,ktk ofisi mpya za chawaumavita zilizopo uwanja wa kinesi shekilango-jirani na urafiki social hall
: INTRODUCTION
Chama cha Wazazi wa Watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, Akili na Viungo Tanzania (CHAWAUMAVITA),in ENGLISH Tanzania Parents Association of children with celebral palsy was established Aprili 2012,granted full registration on april 2013 ,ref number S.A 18732. under the registral of civil society home affair ministry
We believes-“united only a solution to challenges”
Our vision is to be an altenative association for finding bettlement and progressive healthy equipmen tand service for celebral palsy children
Mission ya CHAWAUMAVITA ni
- Bring together those peoples/families with ,working or service provider of these celebral palsy children.in order to exchange views, ideas,challenges,educations,
- Provide information and education on how to eradicate traditional beliefs concerning celebral palsy..
- Assistance in legal affair and their right to members.
Thank in advance, with our motto
“united we survive”
UTAMBULISHO
Chama cha Wazazi wa Watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, Akili na Viungo Tanzania (CHAWAUMAVITA) ni chama kilichoanzishwa mwezi Aprili 2012,Tumefanikiwa kupata usajili mwezi april 2013 namba S.A 18732.
Tunaamini-“Umoja daima ndio suluhisho kwa changamoto”
Dira ya CHAWAUMAVITA ni kuwa CHAMA cha mfano kitachochangia upatikanaji wa huduma bora na endelevu kwa watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, akili na Viungo Tanzania ili kuhakikisha watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, akili na Viungo wanasaidiwa kukabiliana na changamoto zilizopo na kuandaa mazingira bora ya makuzi na maisha yao kwa ujumla
Malengo ya CHAWAUMAVITA ni
- Kuwaleta pamoja watu/familia zinazolea watoto wenye ulemavu wa mtindio wa Ubongo,akili na viungo ili kubadilishana uzoefu, kupata elimu ya namna ya kuwatunza watoto wenye ulemavu wa Mtindio wa Ubongo akili na viungo.
- Kutoa elimu ya ulemavu wa Mtindio wa Ubongo na Viungo ili Kupunguza athari na maumivu yatokanayo na Mtindio wa Ubongo ,akili na viungo.
- Kukusanya, kuchapisha na kusambaza taarifa zinazohusu matatizo yatokanayo na ulemavu wa Mtindio wa Ubongo,akili na viungo.
- Kuwasaidia wanachama/wazazi katika kuwatunza na kutetea na kupata haki zao kwa mujibu wa sheria.
Tunatanguliza shukrani zetu za dhati kwako.Pamoja na salaam, zetu za
“Kwa pamoja tukishikamana tutashinda”