Kuwezesha wazee kupata haki zao za msingi katika kupata matibabu bure; kuwawezesha kupata lishe bora, kuwawezesha kupata malazi yaliyo bora na vile vile kupata pensheni kwa wazee wote.
Mabadiliko Mapya
CHAMA CHA WASTAAFU NA WAZEE [M] MTWARA imeongeza Habari 2.
Chama cha Wastaafu na Wazee Mkoa wa Mtwara ni Asasi ambayo inashughulika katika Mkoa wa Mtwara ambayo imeazishwa mwaka 1987 na kuandikishwa mwezi Machi, 1998. Wanachama hukutana mara kwa mara kujadili maendeleo ya chama na hasa kuondokana na umaskini kwa wazee.Tatizo la chama kwa hivi sasa ni kupata njia ya kuongeza... Soma zaidi
18 Mei, 2011
CHAMA CHA WASTAAFU NA WAZEE [M] MTWARA imejiunga na Envaya.
18 Mei, 2011
Sekta
Sehemu
mtwara mjini, Mtwara, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu