pichani ni kwaya ya wanafunzi viziwi wa shule ya viziwi kigwe wakiwa katika kanisa la viziwi kigwe wilayan bahi mkoa wa dodoma.
Comments (0)
Moja ya mafunzo ya lugha ya alama yanayoendelea kutolewa na chavita dom kwa wanachuo wa chuo kikuu udom hii ni moja ya program inayoendeshwa na chavita dom. pichani ni mmoja wa walimu wa lugha hiyo bwana yusf mloli ambae ni mwnyekiti chavita mkoa wa dodoma.
Mdahalo wa Wadau wa Maendeleo wakichangia mada ya Ushirikishwaji wa Viziwi katika sekta za maendeleo na huduma za walemavu Viziwi,Mdahalo uliotoa tija ya kupatikana kwa ofisi ya Viziwi na ajira ndogo ndogo.