Envaya
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

Shirika la Christian Education and Development Organization CEDO, limezidua mpango mkakati wa uchechemuzi (Advocacy) wa lishe na ustawi wa watoto chini ya umri wa miaka mitano.

Mpango huu umezinduliwa tarehe 31/01/2015, na Mhe. Naomi Mwakyoma na ulishirikisha asasi za kiraia, Madiwani, Baadhi ya viongozi wa Serikali za mitaa, Wananchi wa kawaida, Sekta binafsi,na wataalamu.

Lengo kuu la mpango huu ni kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano, kuboresha maisha, afya na ustawi wa wote, wanawake na makundi yaliyohatarini kwa kuinua uelewa wa jamii ili kuchangia na kuendeleza juhudi za kuokoa maisha ya mama na mtoto.

6 Februari, 2015
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (1)

Ujumbe wetu muhimu
“Afya njema kwa kila mtu afya njema kwa watu wote”
“Lishe Bora ni msingi wa Maendeleo ya Taifa, timiza wajibu wako”
6 Februari, 2015

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.