Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Wanawake wengi katika mkoa wa Mara hasa Serengeti wamekuwa na changamoto kubwa sana ya ukatili wa kijinsia, hivyo kupitia siku hii ya maadhimisho ya miaka 50 BAKWATA wanawake wa Kiislam wanapaza sauti zao juu ya kupinga ukatili wa jinsia 09 December 2018.
December 16, 2020