Envaya

large.jpg

24 Juni, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (1)

Mwenyekiti wa KIAVI Bw Gabriel .S. Ng'osha akiwa na timu ya KIAVI FC(KFC1) ya vijana walio chini ya miaka 15.KIAVI imeamua kuwalea na kuwasaidia vijana hawa kwasababu vipaji bora hujengwa toka chini.Timu hii inahusisha timu 2,KFC1 ikiwa na vijana wa kiume 17 na KFC2 ikiwa ni ya wasichana 16.nia yetu ni kukuza vipaji tofauti mbali na mpira pia kuna wachoraji,waimbaji,wanariadha,wacheza volleyball,netball n.k.
24 Juni, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.