Envaya

1. Mada iliyowakutanisha vijana wengi kujadili ili kuepukana na umaskini

 

 

 

2.Baadhi ya vijana wa wilaya ya Magu waliohudhuria mdahalo unaoendeshwa na KIAVI maeneo ya taasisi ya elimu(TEACHERS RESOUCES CENTER-TRC) MADA"MATATIZO YATOKEAYO TANZANIA NI ZAO LA UTANDAWAZI  NA UWAJIBIKAJI MBOVU"

3.mwenyekiti wa Kiavi Bw Gabriel Samalu Ng'osha akichangia mada hiyo katika mdahalo huo.

 

19 Februari, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.