KWANINI VIJANA WANAJIHUSISHA NA VITENDO VYA UOVU?
ISHENGOMA MCHUNGUZI (PUGU)16 Mutarama, 2018 at 22:08 EAT
naomba tuwasiliane
Marco Mathayo (Ngorongoro)17 Werurwe, 2018 at 16:07 EAT
@Asasi ya ukombozi wa vijana AUVITA (via email):
alkwinnews@gmail.com (mbeya)22 Werurwe, 2018 at 13:14 EAT
@Africa Upendo Group: habari za kazi naomba mnielekeze jinsi ya kufungua na kuunda kikundi cha vijana nina maono hayo jamani msaada tafadhali.
Nicholaus Makata (Ifakara)22 Werurwe, 2018 at 14:34 EAT
@ASASI YA UKOMBOZI WA VIJANA TANZANIA ( AUVITA):
Hongera kwa kazi na majukumu mliyochukua kwa Vijana nimependa idea zenu ila kuna vitu private napenda tushare pls nitafute makatanick87@gmail.com
ROBERT ISHABISA (KAGERA - MULEBA)26 Mata, 2018 at 13:08 EAT (edited 26 Mata, 2018 at 13:09 EAT)
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 niliehitimu ya kidato cha nne tumeanzisha kikund cha vijana katika kata yetu ningependa kujua zaidi namna ya kukiinua na kupata maendeleo zaidi
ntashukuru kwa msaada wenu
kwa mawasiliaon ni 0685657781
Kahuta (Mwanza City)25 Kamena, 2018 at 14:35 EAT
Nimepitia maandiko yote, kwa ujumla nimeona kuwa ipo haja ya kuelimisha vijana namna ya kujiunga kwa ajili ya uzalishaji.
Kwa walioko Mwanza nawakaribisha kituoni kwetu ili wakajifunze bure. Kituo chetu ni cha taasisi isiyokuwa ya kiserikali inayofahamika kama Mwasenda Development Intervention (MDI). Tupo Nyasaka Centre - karibu na Buzuruga stand.
Kahuta (Mwanza City)25 Kamena, 2018 at 14:40 EAT
@Emmanuel Mihambo (Mwanza,Nyamagana):
Uko Nyamagana sehemu gani?
Patrisi emanuel (Babati _ manyara)6 Kanama, 2018 at 11:06 EAT
Nimependa sana nimepata kionjo nahtaji elimu zaidi kuhusu ufugaji kilimo na biashara
dickson athanael (tabora)18 Gashyantare, 2019 at 16:53 EAT
Ni yaleyale AUVITA mmeyainisha hapa yanayoileta jamii ya vijana pamoja katika maendeleo yetu kama vijna. Mimi hapa ni mwenyekiti wa shirika jipya la vijana Tabora linaloitwa JUVITA naamini ushirikiano wetu uaweza kutokomeza kero na changamoto za maisha tulizo nazo.
Alberti Rugana (Mwanza Nyamagana ., Malimbe)23 Kanama, 2019 at 10:21 EAT