Fungua
African Heritage Foundation

African Heritage Foundation

Dar es Salaam, Tanzania

WANAFUNZI WAFURAHIA AFRICAN HERITAGE

Wanafunzi wafurahia na kuridhishwa na huduma ya elimu inaytolewa na shirika hilo.Wakiongea kwa nyakati tofauti wanafunzi wameelezea kuridhishwa na mazingira maridhiwa ya kituo cha elimu cha shirika hilo yenye mvuto kielimu,huku wengine wakionyesha hisia zao kwa waalimu wazuri,makini na wenye msimamo thabiti katika elimu na maisha kwa ujumla.Pichani ni wanafunzi wakiwa katika makundi mbalimbali wakijadili masomo katika maeneo ya kituo hicho.

kushoto wanafunzi wa kidato cha nne wakijadili na mwalimu wao somo la Uraia.

 

Kulia wanafunzi wa kidato cha sita wakijadili somo la Biolojia

15 Desemba, 2010
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.