Log in
UIGIZAJI NA NGOMA ZA ASILI

UIGIZAJI NA NGOMA ZA ASILI

Dar es salaam, Tanzania

vijana na maisha

UIGIZAJI NA NGOMA ZA ASILI (kinondoni - magomeni)
March 15, 2014 at 2:43 PM EAT

je? ni kweli vijana wamekuwa na tatizo kubwa kuhusu kupata maendeleo?

hebu tuzungumzeeeeeeeeeee!

UIGIZAJI NA NGOMA ZA ASILI (magomeni)
March 21, 2014 at 1:58 AM EAT

Hivi uamkapo asubuhi ulisha wahi kujiuliza kwanini umezaliwa? na kwanini ujiulizeee? hebu jibu upate makx za kuishi vyemaaa

UIGIZAJI NA NGOMA ZA ASILI (MAGOMENI)
March 27, 2014 at 2:00 AM EAT

HAKIKA BINADAMU NI KIUMBE ALIYEPEWA AKILI NYINGI NA UTAMBUZI WA MAMBO KULIKO KIUMBE CHOCHOTE PIA KIJANA NI MTU MWEPESI APASWAE KUFIKILI JAMBO MUHIMU NA KUTOA MAAMUZI SAHIHI YA MAENDELEO


Add New Message

Invite people to participate